الموضوع: Muhimu Na Kwa Jumla Kwa Wote Ma Ansar Katika Pembe Tafauti Ya Mataifa Ya Binadamu ..

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. افتراضي Muhimu Na Kwa Jumla Kwa Wote Ma Ansar Katika Pembe Tafauti Ya Mataifa Ya Binadamu ..

    Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني
    30 - شعبان - 1441 هـ
    23 - 04 - 2020 مـ
    9:53 مساءً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=327448

    ______

    هامٌّ وعامٌّ لكلِّ الأنصار في مختلف أقطار دول البشر..
    Muhimu Na Kwa Jumla Kwa Wote Ma Ansar Katika Pembe Tafauti Ya Mataifa Ya Binadamu ..

    Bismillah Al'Wahid Al'Qahar Alhakam Al'Muheimin Kheirul Fasilin, Na Salam Ju Ya Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin, Ama Baada Ya Hapo..

    Salamu Za Allah Ju Yenu Na Rahma Zake Na Baraka Zake Wapendwa Wangu Ma Ansar Walio Tangulia Walio Bora Katika Sehemu Tafauti Katila Ubeduwini Na Mijini, Na Yule Ambae itatangazwa inchi yake ambao yeye anakaa hapo ama amienda kazi humo; Basi ikiwa wametangaza watowaji uwamuzi kuthubutu kuonekana mwandamu wa mwezi wa ramadhan kwa urongo na uzushi baada kuzama jua la alhamisi usiku wa ijuma basi wafunge ma ansar ( peke ) wale ambao wako katka taifa la mwenye tangazo la urongo na uzushi mwanzo wa funga ya ramadhani ju ya dhima ya mtowaji mamuzi katika hio inchi, Na mwisho wake ni moto watowaji ushuhuda wa urongo na uzushi na kiongozi wao alio ju Abdallah Alkhedheri mwenye uchunguzi wa hutat aseder, Na kiasi gani amepoteza nafsi yake akapoteza umma wake akabeba dhambi la watu ju ya dhima yake kwa kudai kwake kua Allah Amemzidisha kwa maoni ya ndege Falcon anaona nyota katikati ya mchana! Na lakini nyinyi ewe Abdallah Mumeingia katika zama za kufikiliwa pakubwa pamoja ya kwamba mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Nashuhudia kwa Allah ushahidi wa haki wa yakini kwamba mwandamo wa ramadhani ambao umeanza mwanzo wa mwezi wake baada kuzama jua la jumatano usiku wa alhamisi lakini nao ulikuwa uko katika hali ya kufikiliwa; Yani kwamba mwandamo umezaliwa kabla ya kukutana jua na mwezi ndio ikakutana nae jua nayo ni mwandamo, Na kulingana navojua kwamba kwa hisabu ya vituo va kuzama mwandamo hamutona mwandamo wa ramadhani baada kuzama jua la siku ya alhamisi usiku wa ijuma kwa tarehe mbili ramadhani ispokua kwa kamera za ccd kabla kuzama jua nao uko katika hali ya kufikiliwa.

    Na eee ajabu enye ma3ashara ya ma ejemi na warabu (ajabu zaidi)! Na je munaingia mwanzo wa mwezi baada kuzama jua la mchana ama kabla kuzama jua uzushi na urongo?! Na kwa hali zote hivi si Allah Ndio Mbora Wakufafanua? Yule Ambae Ajua kwamba jua limefikilia mwezi ishara ya kusadikisha kiulimwengu kwa Khalifa wa Allah Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani kwa idhini ya Allah Mola Mlezi wangu Allah Al'Wahid Al'Qahar, Na kwa hayo natangaza Siku ya kwanza ya kua mwezi kamili badri Ya ramadhani ya mwaka wenu hu 1441 kwa fahari na utukufu kua ni jioni ya siku ya jumatano usiku wa alhamisi, Na atawacha Al'Mahdi Al'Muntadhar uso wa mwezi albadar ambao umekamilika kamili ujdaliane na nyinyi kwa idhini ya Allah Al'Wahid Al'Qahar, Na (Alama ishara aya) nyingine na ma ishara zakufatana.


    Na labda antaka moja katika waulizaji waislamu katika pembezoni za ulimwengu kusema Ewe Nasser Muhammad Al'Yamani Ajabu jambo lako! Vipi na wewe wajua kwa yakini kama Alivo Kufundisha Mola Mlezi Wako kwa aya ya kufikiliwa onyo kwa wanadamu kwamba inaanza mwezi wa ramadhani ya mwaka wetu hu 1441 ni jioni ya siku ya jumatano usiku wa alhamisi, Kwanini hukufunga usiku wa alhamisi? Kisha anarudisha jibu kwake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani na nasema ila hio ni aya ya kusadikisha imefichika munaijua siku ya kufunga kwenu katika mwanzo wa masiku ya mwezi wa ramadhani ndio munwuona mwandamo wa mwezi umefunguka kwakua umri wake ni mkubwa kwasababu umezaliwa kabla ya kushikana ndio ikakutana nae jua na tayari ni mwandamo, Na hakika utakua kamili badri jioni ya jumatano usiku wa alhamisi mshangao wa ukamilifu wa mwezi na itazama wakati wa kivuli katika wakati wa ikama ya swala ya alfajiri ya alhamisi, Na kila tukilekea mgharibi mwa yemen hivo hivo itazama mwezi ulio kamilika kuchelewa kwenye wakati wa kivuli mpaka kuchomozeka kwa jua katika mwisho wa ulimwengu, Na hukmu ni ya Allah Mbora wa kufafanua, Na Salam Ju Ya Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin.

    Na atafunga Al'Imam Al'Mahdi kulingana na tangazo la serekali ya uwokowaji ju ya dhima yao, Na hivo hivo wote ma ansar katika sehemu tafauti pembezoni mwa ulimwengu kila moja afunge kulingana na tangazo la taifa ambao yeye yuko hapo ju ya dhima yao na Taqabala Allah funga yake na kismamo chake, Na nakariri na nasema; Halika mwanzo wa mwezi wa ramadhani imeingia jioni ya jumatano usiku wa alhamisi , Na usiku hu wa ijuma tarehe mbili ramadhani na jumamosi tarehe tatu ramadhani, Na mutajua hayo katika kufura miandamo ndio isimekane ni wa siku mbili ama tatu ikiwa munamsadikisha Allah na Mtume Wake kwamba hakika katika masharti ya saa ni kufura miandamo, Ndio isemwe wakati wa kutokezea kwake kwa wafungaji kwa jumla sehemu zilio finikwa na majabali na zilio wazi siku ya kufungua saumu yao siku ya kwanza isemekane ni wa siku mbili ama tatu, Na wafungaji wote kwa hayo ni mashahidi, Ewe Mola Mlezi Tufungulie baina yetu na baina ya wanao kiburi katika ulimwengu kwa haki hakika Wewe ni Mbora wa kuleta Ukombozi, Na Salam Ju Ya Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin.


    Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani
    خليفة الله وعبدُه الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
    _________

    اقتباس المشاركة 327448 من موضوع هامٌّ وعامٌّ لكلِّ الأنصار في مختلف أقطار دول البشر..

    الإمام ناصر محمد اليماني
    30 - شعبان - 1441 هـ
    23 - 4 - 2020 مـ
    9:53 مساءً
    (بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى)
    _______________


    هامٌّ وعامٌّ لكلِّ الأنصار في مختلف أقطار دول البشر..

    بسم الله الواحد القهار الحكَم المُهيمِن خيرُ الفاصلين، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ للهِ ربِّ العالمين، أمّا بعد..
    سلامُ الله عليكم ورحمته وبركاته أحبّتي الأنصار السابقين الأخيار في مختلف الأقطار في البوادي والحضر، فمن أعلنت دولته التي هو ساكنٌ فيها أو مغتربٌ فيها؛ فإذا أعلنوا صنّاع القرار ثبوت رؤية هلال رمضان زوراً وبهتاناً بعد غروب شمس الخميس ليلة الجمعة فليصُم الأنصار (فقط) الذين في دولة صاحب إعلان الزور والبهتان أوّل أيّام الصيام إلى ذمّة صانع القرار في تلك الدولة، ومصيرهم النار شهداء الزور والبهتان وعلى رأسهم عبد الله الخضيري صاحب مرصد حوطة سدير، فلَكَم أضلّ نفسه وأمّته وتحمّل وِزر الناس في ذمّته بزعمه أنّ الله أمدّه ببصر الصقر يرى النجوم في عزّ الظهر! ولكنّكم يا عبد الله دخلتم في عصر الإدراكات الكبرى برغم أنّي الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني أشهد لله شهادة الحق اليقين أنّ هلال رمضان الذي بَدءُ غُرّة شهرهِ بعد غروب شمس الأربعاء ليلة الخميس ولكنّه كان في حالة إدراكٍ؛ بمعنى أنّ الهلال وُلِد قبل اجتماع الشمس والقمر فاجتمعت به الشمس وقد هو هلالاً، وحسب علمي على حساب منازل غروب الهلال لن تشاهدوا هلال رمضان بعد غروب شمس يوم الخميس ليلة الجمعة تأريخ اثنين رمضان إلا بكامرة سي سي دي قبل غروب الشمس وهو في حالة إدراك.

    ويا للعجب يا معشر العجم والعرب (أشدّ العجب)! فهل تدخلون غرّة الشهر بعد غروب شمس النهار أم قبل غروب الشمس زوراً وبهتاناً؟! وعلى كل حال أليس الله بخير الفاصلين؟ الذي يعلم أنّ الشمس أدركت القمر آية التصديق الكونيّة لخليفة الله المهديّ ناصر محمد اليمانيّ بإذن ربّي الله الواحد القهّار،
    وعليه أُعلِنُ أوّل أيّام بدر رمضان لعامكم هذا 1441 بكلّ عزٍّ وافتخارٍ أنّها مساءُ يوم الأربعاء ليلة الخميس، ولسوف يترك المهديّ المنتظر وجه القمر البدر يجادلُكم بإذن الله الواحد القهّار، وآية أخرى وآيات تترى.

    وربّما يوَدُّ أحد السائلين من المسلمين في مختلف أقطار العالمين أن يقول يا ناصر محمد اليماني عجبٌ أمرك! فكيف أنّك تعلم علم اليقين كما علّمك ربّك بآية الإدراك نذيراً للبشر بأنّ غرة شهر رمضان لعامنا هذا 1441 هي مساء يوم الأربعاء ليلة الخميس، فلماذا لم تصُم ليلة الخميس؟ فمِن ثمّ يردّ عليه الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني وأقول إنّما ذلك آية تصديقٍ خفيّةٍ تعلمونها يوم صيامكم في أوّل أيّام شهر رمضان فترونه هلال الشهر منتفخاً كون عمره كبيراً بسبب أنّه وُلِد من قبل الاقتران فاجتمعت به الشمس وقد هو هلالاً، ولسوف يُبدِر مساء يوم الأربعاء ليلة الخميس مفاجأةً بدر التمام ويغرب في ميقات الظّلّ في ميقات إقامة صلاة فجر الخميس، وكلّما اتّجهنا غرباً من اليمن كذلك سوف يغرب القمر البدر متأخّراً في ميقات الظّلّ الى طلوع الشمس في نهاية العالم، والحكم لله خير الفاصلين، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ للهِ ربِّ العالمين.

    ولسوف يصوم الإمام المهدي حسب إعلان حكومة الإنقاذ الى ذمّتهم، وكذلك كافّة الأنصار في مختلف الأقطار كلٌّ يصوم بحسب إعلان الدولة التي هو فيها الى ذمّتهم وتقبّل الله صيامه وقيامه، وأكرّرُ وأقول: إنّ غُرّة شهر رمضان دخلت مساء الأربعاء ليلة الخميس، وهذه الليله الجمعة تأريخ اثنين رمضان والسبت ثلاثة رمضان، وسوف تعلمون ذلك من خلال انتفاخ الأهلّة فيقال ليلتين أو ثلاث إن كنتم تُصدّقون الله ورسوله أنّ من أشراط الساعة انتفاخ الأهِلّة، فيقال يوم خروجه للصائمين بشكل عام المغلقة بالجبال والمفتوحة يوم إفطارهم في أوّل يوم فيقال ليلتان أو ثلاث، وكافّة الصائمين على ذلك من الشاهدين، اللهم افتح بيننا وبين المستكبرين في العالمين بالحقِّ وأنت خير الفاتحين، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ للهِ ربِّ العالمين.

    خليفة الله وعبدُه الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
    _____________

    [ لقراءة البيان من الموسوعة ]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=327507
    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..



    كُفيــتَ يا قلـــبُ بالنّعيـم تَقربــاً وما كانَ للقلب عن حبّه لَيحيدُ
    وَكلّما مالَت شغافُ القلبِ للدُّنيا كانَ الوريدُ إلى الحَبيب مُريدُ

المواضيع المتشابهه
  1. Jumla Na Muhimu Kwa Wote Ulimwenguni; Kwa Binadamu Wote Mwislamu Na Kafiri..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 01-07-2020, 03:01 AM
  2. Kukumbusha Kwa Bayana Fupi Kwa Yule Ambae Ni Katika Wanao Ona walioko Katika Sehemu Tafauti Katika Ulimwengu ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 12-12-2018, 11:05 PM
  3. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 22-08-2018, 07:45 PM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 07-08-2018, 02:59 AM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 21-07-2018, 02:35 PM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •