- 2 -
Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
24 - 07 - 1930 هـ
17 - 07 - 2009 مـ
07:44 مساءً
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=1613
__________________



إضاعة الصلاة لا يُعوِّضها إلا التوبة والإنابة ..
Kupoteza Swala Hailipi Ispokua Kutubu Na Rejea..


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..

Na ju yenu mujuwe kwamba hakika ya swala zilizo faradhishwa ni wakati ulio wekwa malumu basi ikienda wakati wa swala za mchana basi hamutoweza kuzilipa hata kama umeiswali baada kuzama jua Hapo hapo, Kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{ Kwani hakika Sala kwa Waumini ni faradhi iliyo wekewa nyakati maalumu } Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa:103].
{إِنَّ الصَّلاَةَ كَانَتْ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ كِتَابًا مَّوْقُوتًا} صدق الله العظيم [النساء:103].
Na lau ingekua Nabi wa Allah Suleiman anaona kua yeye anaweza kulipa Swala yake hangesimama kukata migu na shingo za farasi wake pamoja yakwamba hana haki yakufanya hivo, Lakini yeye alikua katika hali ya ghadhabu kwajili walikua ni sababu ambao imemfanya apitikiwe na swala ya faradhi, Basi hatoweza kuilipa ispokua kwa kutubu na kurejea. Akasema Allah Ta3ala:
{ Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia (30) Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti (31) Basi akasema: Navipenda vitu vizuri kutokana na kumkumbuka Mola wangu Mlezi. mpaka mwangaza umepotea (32) (Akasema Nirudishieni! Akaanza kukata migu na shingo (33) Na tulimtia mtihanini Suleiman, na tukauweka mwili juu ya kiti chake, kisha akarejea kwa kutubu (34) Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe ndiye Mpaji (35) Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika (36) Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi (37) Na wengine wafungwao kwa minyororo (38) Hichi ndicho kipawa chetu. Basi toa au zuia, bila ya hisabu (39) Na hakika yeye kwetu Sisi ana cheo cha kukaribishwa
kwetu, na pahala pazuri pa kurejea (40)}
Sadaqa Allah Al3adhim [Swad].
{وَوَهَبْنَا لِدَاوُودَ سليمان نِعْمَ الْعَبْدُ إِنَّهُ أَوَّابٌ (30) إِذْ عُرِضَ عَلَيْهِ بِالْعَشِيِّ الصَّافِنَاتُ الْجِيَادُ (31) فَقَالَ إِنِّي أَحْبَبْتُ حُبَّ الْخَيْرِ عَنْ ذِكْرِ ربّي حَتَّى تَوَارَتْ بِالْحِجَابِ (32) رُدُّوهَا عَلَيَّ فَطَفِقَ مَسْحًا بِالسُّوقِ وَالأَعْنَاقِ (33) وَلَقَدْ فَتَنَّا سليمان وَأَلْقَيْنَا عَلَى كُرْسِيِّهِ جَسَدًا ثُمَّ أَنَابَ (34) قَالَ رَبِّ اغْفِرْ لِي وَهَبْ لِي مُلْكًا لا يَنْبَغِي لأَحَدٍ مِنْ بَعْدِي إِنَّكَ أَنْتَ الْوَهَّابُ (35) فَسَخَّرْنَا لَهُ الرِّيحَ تَجْرِي بِأَمْرِهِ رُخَاءً حَيْثُ أَصَابَ (36) وَالشَّيَاطِينَ كلّ بَنَّاءٍ وَغَوَّاصٍ (37) وَآخَرِينَ مُقَرَّنِينَ فِي الأَصْفَادِ (38) هَذَا عَطَاؤُنَا فَامْنُنْ أَوْ أَمْسِكْ بِغَيْرِ حِسَابٍ (39) وَإِنَّ لَهُ عِنْدَنَا لَزُلْفَى وَحُسْنَ مَآبٍ (40)} صدق الله العظيم [ص].

Kwahivo, Likipotea jua la mchana na moja wenu hajaswali Faradhi yake basi hana yeye ispokua kutubu katika kitabu cha Allah ndio aswali raka mbili za nafli kwake kwa Mola Mlezi wake kua amghufurie yeye kwa hilo, Basi ismsahaulishe maisha ya dunia na pambo lake kutokana na utajo wa Mola Mlezi wake.

Na ama Swala ya faradhi basi imenda kwa kumalizika wakati wake, Na ama kuhusu ya riwaya basi nayo imezushwa; Na hivo ni kwajili mimi najua hikma ya kuzushwa kwake nayo ni kua wapoteze waislamu swala zao na wategeme swala za kafara ya uzushi! Basi na vipi sivio nayo inalipa miyaka arbaini basi inam'okoa mtoto wake na familia yake na wazazi wake na watu wa mji wake! Kwahivo watapoteza swala sao na wategeme ju ya swala ya kafara kwajili ina ujira mku zaidi! Awauwe Allah Wanavo zua.

ispokua zile raka mbili ambazo nimewaeleza nazo ispokua ni raka za toba na kurejea kua amghufurie yeye ile alio fanya, Hakika Mola Mlezi wangu ni mwenye kusamehe mrahimu, Basi itandikwa kwake raka mbili nafli kwa Mola Mlezi wake kisha Anamtubia ju yake na Amghufuria yeye yale yalio tokea kwake kughafilika kwake ama kusahau hakika Mola Mpezi Wangu Ni Ghafuron Rahim.

Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..

Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
____________________


اقتباس المشاركة 5252 من موضوع الكفّارات ..


- 2 -

الإمام ناصر محمد اليماني
24 - 07 - 1430 هـ
17 - 07 - 2009 مـ
07:44 مساءً
_________


إضاعة الصلاة لا يُعوِّضها إلا التوبة والإنابة ..


بسم الله الرحمن الرحيم، وسلامٌ على المرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..

وعليكم أن تعلموا أنّ الصلوات المفروضات كتاباً موقوتاً فإذا ذهب وقت صلوات النهار فلن تستطيع تعويضها حتى ولو صلّيتَها بعد غُروب الشمس مباشرةً. تصديقاً لقول الله تعالى:
{إِنَّ الصَّلاَةَ كَانَتْ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ كِتَابًا مَّوْقُوتًا} صدق الله العظيم [النساء:103].

ولو كان نبيَّ الله سليمان يرى أنّه يستطيع أن يعوِّض صلاتَه لما قام بقطع سيقان وأعناق خيوله برغم أنّه لا يحقّ له أن يفعل ذلك، ولكنّه كان في حالة غضبٍ لأنّها السّبب الذي ألهاهُ عن الصلاة المفروضة، فلن يستطيع أن يعوضها إلا بالتوبة والإنابة. وقال الله تعالى:
{وَوَهَبْنَا لِدَاوُودَ سليمان نِعْمَ الْعَبْدُ إِنَّهُ أَوَّابٌ (30) إِذْ عُرِضَ عَلَيْهِ بِالْعَشِيِّ الصَّافِنَاتُ الْجِيَادُ (31) فَقَالَ إِنِّي أَحْبَبْتُ حُبَّ الْخَيْرِ عَنْ ذِكْرِ ربّي حَتَّى تَوَارَتْ بِالْحِجَابِ (32) رُدُّوهَا عَلَيَّ فَطَفِقَ مَسْحًا بِالسُّوقِ وَالأَعْنَاقِ (33) وَلَقَدْ فَتَنَّا سليمان وَأَلْقَيْنَا عَلَى كُرْسِيِّهِ جَسَدًا ثُمَّ أَنَابَ (34) قَالَ رَبِّ اغْفِرْ لِي وَهَبْ لِي مُلْكًا لا يَنْبَغِي لأَحَدٍ مِنْ بَعْدِي إِنَّكَ أَنْتَ الْوَهَّابُ (35) فَسَخَّرْنَا لَهُ الرِّيحَ تَجْرِي بِأَمْرِهِ رُخَاءً حَيْثُ أَصَابَ (36) وَالشَّيَاطِينَ كلّ بَنَّاءٍ وَغَوَّاصٍ (37) وَآخَرِينَ مُقَرَّنِينَ فِي الأَصْفَادِ (38) هَذَا عَطَاؤُنَا فَامْنُنْ أَوْ أَمْسِكْ بِغَيْرِ حِسَابٍ (39) وَإِنَّ لَهُ عِنْدَنَا لَزُلْفَى وَحُسْنَ مَآبٍ (40)} صدق الله العظيم [ص].

إذاً، إذا غابت شمس النهار وأحدُكم لم يُصلِِّ فرضَه فليس لهُ إلا التوبة في كتاب الله فيُصلِّي ركعتين نافلةً له عند ربّه أن يغفر له ذلك، فلا تُلهِهِ الحياة الدُنيا وزينتها عن ذكر ربه .

فأمّا الصلاة المفروضة فقد ذهبت عليه بذهاب وقتها، وأما الرواية فهي مُفتراة؛ ذلك لأنّي أعلم الحكمة من افترائها وهو أن يضيّع المسلمون صلواتهم ويعتمدوا على صلاة الكفارة المُفتراة! فكيف لا وهي تُكَّفر أربعمائة سنة فتُنقذ ولده وأهله ووالديه وأهل بلده! إذاً سوف يضيّعون الصلوات ويعتمدون على صلاة الكفارة لأنّها أعظم أجراً! قاتلهم الله أنّى يؤفكون.

وإنّما الركعتين التي أخبرناكم عنها إنّما هي ركعتا التوبة والإنابة أن يغفر له ما فعل، إنّ ربّي غفورٌ رحيم. فتُكتب له الركعتين نافلةً عند ربّه ويتوب عليه ويغفر له ما حدث منه غفلةً منه أو نسياناً إن ربّي غفورٌ رحيم.

وسلامٌ على المرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..
الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
_______________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..