الموضوع: Kutoka kwa Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammd Al’Yamani Kwa Wote Ma Anssar Katika Sehemu Tafauti Ulimwenguni Ubeduwini Na Mijin..

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. smiling face Kutoka kwa Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammd Al’Yamani Kwa Wote Ma Anssar Katika Sehemu Tafauti Ulimwenguni Ubeduwini Na Mijin..


    Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني
    27 - شوال - 1439 هـ
    11 - 07 - 2018 مـ
    01:16 مساءً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

    [ili kufwatilia cha bayana asili]
    https://=https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=290507


    ــــــــــــــــــــــــ

    من المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني إلى كافة الأنصار في مختلف الأقطار في البوادي والحضر ..
    Kutoka kwa Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammd Al’Yamani Kwa Wote Ma Anssar Katika Sehemu Tafauti Ulimwenguni Ubeduwini Na Mijin..


    Bisimullah Al’Rahman Al’Rahim, Na Sala Na Salamu Juu Ya Wote Ma Nabi Na Mitume Kutoka Wakwanza Wao Mpaka Khatimu Wao Muhammad Mtume Wa Allah, Enye Ambae Muliamini Msalieni Ju Yake Na Ju Yao Na Mtoe Salamu Kusalimu, Hatutafautishi Baina Ya Yoyote Kati Yao Na Sisi Kwake Waislamu, Na Sala Za Mola Mlezi Wangu Na Salamu Zake Ju Ya Walio Wafwata Kwa Ihsan Wema Mpaka Siku Ya Dini, Ama Baada Ya Hapo..

    Salam Za Allah Ju Yenu Na Rahma Zake Na Baraka Zake Wapendwa Wangu ma Anssar na wote watafiti wa haki kwenye meza ya mazungumzo ya Ulimwengu, Basi hakika kiasi gani na kiasi gani nimewahadharisha wanazuoni wa falaki ya Anga katika waislamu na makafiri kwakutambua na kukiri kwa ishara ya kusadikisha Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammad Al’Yamani kabla hajaiondosha Allah Ukweli wao wa ki ilimu ya kifiziki ya ulimwengu kwamba jua limefikiliea Mwezi ndio ikazaliwa mwandamo kabla ya kusuf eclipse ikakutana nae nayo ni mwandamo,

    Na ukumbusho na Onyo haswa Kwa wanazuoni wa falaki ya Anga kwamba wakiri na watambuwe kwa ishara ya kufikilia kusadikisha sharti katika masharti ya saa Kuu kabla haijapotea ukweli wao ya ki’ilimu ndio Awakheze Allah kwakua wengi wa wanazuoni wa falaki hakika wanajua kwamba jua kweli limefikilia mwezi ikafwata katika kupambazuka kwake na kuzama kwake, Na hawakujua kwa ilimu ya yakini nini sababu ya tokeo hili ambalo ni ajabu ambalo lakhalifu Namus sharia ya kifiziki ya falaki nayo ni sababu ya kuzama mwandamo wa mwezi kabla kuzama jua, pamoja ya ilimu yao kwamba kulingana na mahisabu ya kifalaki ya kifiziki ambao sawa sawa kwamba imeingia wakati wa kushikana na kuzaliwa mwandamo ya mwezi mpya pamoja na hayo wanaiona yazama kabla kuzama jua kulingana na tarehe ya kituo cha Ardhi na ulimwengu Maka Al’Mukarama, Na kwa hali yoyote, hawo hapo wanajua kwa kusuf Eclipse inaonekana Sehemu ndogo kusini Australia.

    Na anacho taka kusema Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammad Al’Yamani Kwa Watu wote ubeduini na mijini mwislamu wao na kafiri: Na jee mwajua kwamba mwandamo wa dhi alqaida ya mwaka wenu hu 1439 itazaliwa kabla kushikana ndio ikutane na jua usiku wa juma nayo ni mwandamo wa nyumba ya kwanza? Yani siku ya kwanza ya mwezi dhi alqaida ni usiku wa juma wakati wa kuzama jua la siku ya alkhamisi usiku wa juma lakini hato’ona yoyote katika watu kwakua mwandamo wa dhi alqaida utazama wakati likizama jua la siku ya alkhamisi usiku wa juma nayo iko katika hali ya kufikiliwa; Yani litazama na jua kwa mashariki nae na mwezi Inafwata nae upande wa magharibi ya jua ndio ifwate, Kama Vile wanavo jua wanazuoni wa falaki kama mfano wa Abdallah Bin Suleman almanii ikamtatiza tokeo hili la kushangaza kwa kanuni ya falaki ya kifiziki na karibu atangaze kukiri kwake kwa haki katika mwaka 1427 baada kutangaza Al’Imam Al’Mahdi kwa ishara ya kufikilia jua mwezi Kusadikisha sharti katika masharti maku ya saa, Na inatokea sababu ya hio kufura miyezi baada kuzama jua la siku yake ya kwanza kulingana na siku ya kwanza kisharia, Basi ndio anaiona kila mwenye kuzama jua kwake imefura kama ilivo Kariri katika miyezi mingi na wala Hai kupatikana kwa watu ukumbusho, Na haikua kauli ya waislamu wa kawaida ispokua wasema: “ Tumefunga Kuchelewa”, Na inawashangaza hilo jambo zaidi kuliko Alama kubwa ya jua na mwezi! Na wala haikupatikana Kwao ukumbusho.

    Na imekurubia adhabu ya Allah Al’Wahid Al’Qahar mwenye Kuendesha mbingu na ardhi na viliomo baina yao na jua na mwezi, Na “Al’Rajifa” Mtingisho Ni Alfajiri ya siku fulani, Na Sayari Ya Saqar, Na Tete Kama Kasri, Na hawatopata wakanushaji kwa Aya ya Allah Mwenye kuwanusuru na kuwasaidia pasi na Mola Mlezi Wao,


    Fa Wallah Thuma Wallah hakika mutaona katika Alama na kudra za Allah yale ambao hamukufikiria, Wala Nyinyi sio wenye kuendesha, Subhana Mola Mlezi wangu Ta3ala 3uluwan Kabiran.

    Na imekurubia adhabu enyi ma3ashara ya ma hizbu na nyinyi bado hamujaitikia mwito wa ulinganizi wa kuhukumu kwa kitabu cha Allah Al’Quran Al3adhim Na Sunna anabawia za haki ambazo hazikhalifu muhakam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim.

    Na labda huwenda moja katika watafiti kutaka kusema:” Ewe Imam Nasser Muhammd Al’Yamani, Wallah Thuma Wallah hakika mimi nilikua karibu kutoa beyaa na Kusadikisha Kwa kufwata kwa ilivo bainika kwangu kutokana na Bayana ya haki ya Al’Quran Al3adhim kwa kalamu ya Al’Imam Nasser Muhammd Al’Yamani kwakua wewe wabainisha Al’Quran kwa Al’Quran na unafafanua Al’Quran Kwa Al’Quran ufafanuzi mkubwa, Lakini mimi nimeakhirisha beyaa yangu kwasababu tangazo la Kuliwa Kiongozi Ali Abdallah Swaleh kwakua wewe umemfanya ni katika alama za kusadikisha pamoja yakwamba haijatajwa Ali Abdallah Swaleh kwenye Al’Quran Al’3adhim”. Na alafu ansmamisha hoja Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammd Al’Yamani kwa wale hwayakinishi Na nasema: Kuhusu kuona ndoto basi nayo inanihusu na kusadikisha kwake Vile Atakavo Allah wakati Atakapo, Na najua kwamba mimi sijasema urongo ju ya Allah, Na hivo hivo Ali Abdallah Swaleh Afash alie jificha kama popo nyundo hakika anajua kwamba mimi sijasema urongo ju ya Allah na kwamba kweli yuko hai anaruzukiwa katika dunia na namwambia yeye:
    Ewe ambae ni kiongozi Ali Abdallah Swaleh, Nini sababu ya vipele hasasia ambao Alinionesha Allah kwenye uso wako kabla masiku ya ku hisabu na haswa kwenye mashavu yako na uso wako, Je imeisha matibabu kwako na wewe umejificha? Na ewe Mwanamume Mche Allah Mola Wangu Mlezi na Mola wako na kua katika wanao shukru, Hakika Allah Amekufanya ni katika ma Alama ya kumsadikisha Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.

    Na labda anataka kusema Ali Abdallah Swaleh:” Ewe Imam Nasser Muhammd Al’Yamani, Mimi hakika sija Peleleza Bayana zako haki ya Kupeleleza ispokua kwenye internet ya ulimwengu baada kupotea kwangu, Na ndio moyo wangu waniuma pindi nikiona wale ambao hawajuwi wanakadhibisha fatwa yako kwamba Hakika Ali Abdallah Swaleh hajauliwa, Eee hakika Ali Abdallah Swala anajua kwamba hakika ya fatwa yako ni haki na yakini yako kwa kuona ndoto yako kutoka Mola Mlezi wako ni kweli lakini mimi naogopa ju ya nafsi yangu na kidogo Walioko na Mm hivo hivo wanaogopa”.

    Na alafu anasmamisha Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammd Al’Yamani hoja ju ya Kiongozi Ali Abdallah Swaleh Na nasema: Mche Allah ewe mwanamume, Na Wala usiogope ispokua Mola wako Mlezi, Na kua pamoja na haki itakua na wewe, Na imetangulia kukuhadharisha kwamba wewe utafika kwenye hali hi ambao wewe uko, Lakini kwasababu ya kupuza kwako kwa nasaha za Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammd Al’Yamani wakakugaeuka ma hizbu na zikafungika mbele yako milango ya kutatua na zikakatika kwako Ma sababu, Na bado inazali mlango wa Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammd Al’Yamani uko wazi kwako kwa Amri ya Allah.

    Na labda anataka bwana Abdulmalik Alawuthi kusema:” Ajabu Jambo lako ewe Nasser Muhammad Al’Yamani! Na vipi utamhutubia mwanamume wamepata maaskari wetu ameuliwa Kwene Nyumba yake?”.
    Alafu nasema: Ewe bwana Abdulmalik Al’Hawthi, Nini itakuwa msimamo wako lau atazungumza Ali Abdallah Swaleh kwa ulimwengu kwenye entarent ya ulimwengu basi akawaeleza kwamba yuko hai anaruzukiwa? Hakika utapoteza ukweli wako wote, Na nasaha yangu Kwako hakikisha kwenye ule mwili ambao Uko nao utaenda kujua kwamba kweli sio Ali Abdallah Saleh na kwamba Nasser Muhammad Al’Yamani Ni katika wakweli, Na laana ya Allah ju ya Nasser Muhammad Al’Yamani ikiwa ni katika warongo, Basi mche Allah; Na nani dhalimu zaidi kuliko alie ficha ushuhuda kwake kutoka kwa Allah.
    Na nasaha yangu Kwako kwa haki kwamba utambue na ukiri kwamba Ali Abdallah Swaleh Aliwandaganya mwanzo wa jambo Ndio akamvisha mwanamume Ameuliwa mu’undo wa Uso Mask ya Ali Abdallah Swaleh mukamdhania ni yeye mwanzo wa jambo na mukatangaza Kuliwa kwake kwa ulimwengu, Na hamuna lawama ju yenu ikiwa hamukumjua Ramiz Ali Abdallah Swaleh na je wame weza kumjua wale wanao chezesha vipindi va kuchekesha wa ki Misri na wingine kumjua ( Ramiz Jalal ) pamoja yakwamba ni rafiki ya wengi miongoni mwao? Pamoja ya hivo hawakujua tone la chungu kwamba yule mwanamume ambae ana zungumza na wao ni rafiki yao Ramiz Jalal Wa Misri, Na kwajili ya hivo hatuwezi kusema kwamba nyinyi ni warongo katika kutangaza mauwaji yake mwanzo wa jambo kwa sababu ya ku’undwa Uso ulio fanana na yeye Mask; Bali dhambi kubwa ju yenu ni baada kubainika kwenu kwamba sio yeye; Basi mukaficha Ushuhuda Wa Haki.

    Na ewe mwanamume, Hakika ya Raia wa yemen wako kwenye ukingo la shimo, Na mungano wa fedha ya kiarabu wamebomoa Miundombinu ya Yemen kubomoa sawa za kijeshi ama za serekali ya miji basi hakujabaki kitu kwasababu ya maoni yenu ambao ni fupi,

    Na ewe mwanamume, lau kwamba nyinyi wakati mulipo sikia waziri wa mambo ya inje wa iran anasema;” Imeanguka Sanaa mji mku wa kiarabu Wa inne chini ya hukmu ya ki farisi” Alafu linakua jibu lenu kwa ulimi moja kwa huyo mwanamume wa iran;” Umedanganya, Na Yemen ni makaburi ya wale wanao vamia, Basi hakika sisi sio wafwasi wa ma farsi wanye tama ya kuenea ya kifarisi chini ya jina wanao ita kuenea kishia “; Kwahivo hamungwapa mungano wa fedha za kiarabu hoja ya kubomoa miundobinu ya Yemen, Lakini ufupi wa kuona na katika siyasa na ikawadanganya iran na chanel ya Mayadin ambayo ilieneza uvumi wa vita ju ya Yemen kwa siyasa ya vita va kimatangazo mpaka itimu kuwakinaisha inchi za Gulf kwamba hapana budi ispokua ni kuwamaliza ma shia Yemen, Pamoja ya kwamba wanao jita Anssar Allah ni mchanganyiko wa madhehebu tafauti; Yani Kama Chama Chochote cha ki siyasa, Na wala haijuzu kumaliza Kafiri kwa hoja ya ukafiri Wake, Basi jee itakuwaje kwa waislamu? Basi hakuna kheri kwenu wala kwa ma islahiyin wale ambao wameuza dini yao kwa dunia na wakauza Taifa lao.

    Ala Wallah Ambae Hapana Mungu ispokua Yeye lau mungekua Enyi Ma3ashara ya wanao ji’ita wenye sharia mungesema;” Ewe Ambae ni ufalme wa kiarabu Saudia, Hakika mumeondosha ndege za Yemen kuanzia usiku wa kwanza basi mpaka hapo tosha; Bali tunatosheka kwa usaidizi wenu wa kivita va chini ki fedha, Na myemeni kwa myemeni, Ama kubomoa Yemen basi hatutoridhika kwa hayo, Na jee munaridhika kubomoa ilio jengwa kwetu kwa muda wa miyaka thalathini na tatu na murudishe Yemen kwenye sufuri?”.
    Na lau mungesema hivo hakika mungeonekana Wakubwa mbele ya macho ya mungano wa fedha ya kiarabu na hata kama mungekua muko kwenye upotevu wa ma islahiyin na mahawuthi enyi ambao mulio kataa mwito wa ulinganizi wa kuhuhukumiwa kwenye kitabu cha Allah Al’Quran Al3adhim Na sharia ya Allah ambao njia ya peke kuwa’okoa nyinyi na kuwa’okoa waislamu wote, Na Nawapa Changa moto kwamba hamutopata mbali na hio, Na bado Allah Anazali kuwaonjesha baadhi yenu nguvu juu ya baadhi na hivo kwenu ni adhabu ya Allah.

    Na enyi ma3ashara ya mungano wa naqd ya warabu nawamuru musmamishe vita ju ya Yemen, Na tumetangulia awali kuipa jina Kimbunga chenu kwamba kimbunga cha kubomoa wala sio kimbunga cha ukombozi, Na hizo hapo maofisi Za serekali uharibifu mkubwa unapeperushwa na upepo sawa ni zaki jeshi ama za miji basi ukombozi ulio muwovu kabisa ni ukombozi wenu, Na kama alivo sema Muhammad bin Suleiman:” Wakati uko na sisi”! Yani kurefusha miyaka ya vita, Natoa Qasam Billah Al3adhim hakika mimi najua unacho kusudia haswa sawa sawa bila ya dhulma, Yani wakati iko na nyinyi katika kurefusha miyaka ya vita mpaka itimu kubomolewa zote Majengo ya makao ya Kuishi kwenye miji yote ya Yemen, Na Ushuhuda ju ya hayo kufungua jabha ingine (Qania) ya kivita, Na eee ajabu enyi ma3ashara ya ma islahiyin! Na kwani Jee munataka kukomboa Sanaa kutoka mwisho wa kusini mashariki nayo iko kwa kaskazini magharibi? Na Jee mwataka kubomoa vijiji na miji kwenye njia ya ( Albeydha ) mpaka mufike ( Naqil yasleh ) Kusini Sanaa? Basi siyasa ya nani mwafata mubomowe miundombinu ya yemen kwa miji ya kuishi.

    Na Ama Kabila la Murad Basi nawambia wao: Allah Al’Mustaan Mwenye Kutegemewa, Sio katika Sifa yenu kuvunja Ahdi, Eee hakika ya kupatana suluhu ni Ahdi kwa Allah na magano mazito, Hivi hamujawafikiana na mahawuthi baada Alipo wanusuru Allah Juyao kabla haijajingiza mungano wa naqd ya warabu ikatimu kuweka sahihi kusain ma’agano Ya njia Ya ( Qania albeydha Radaa Sanaa ) hio itakua njia ya amani na salama kwa Raia wote, Mbona munageuka Ahdi Ya Allah Na magano ya mapatano ya suluhu Al’Shekh Marhemu Ahmad Al3aji Twalib Al’Twalibi?

    Na labda wanataka baadhi ya watetanishi kutaka kusema:” Ispokua unataka wakutunuku mahawuthiyin kwa upinzani wako hu ili kufungua jabha ya Qania ya vita”.
    Na Alafu anarudisha kwenu jibu Al’Imam Al’Mahdi Na nasema: Mumedamganya Warabi Al’Kaaba, Na je mwaniona nawapendelea Ma Hawuthiyin Kwa kitu? Hakiak Wao Wanajua kwamba Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani haogopi kwa Allah lawama ya mwenye kulaumu na mimi naishi Sanaa baina Yao, Lakini Mimi nawambia wao na nyinyi neno la haki na napinga kwa haki wala siogopi kwa Allah lawama ya wenye kulaumu, Pamoja ya ushadidi wa matamko ya kupinga Kwangu kwa haki ju yao tunapata vifua vao vimepanuka kupongeza kipingio,

    Na ama wale ambao wanatukadibu kutoka kwa ma3ashara ya ma salafiyin kwanza Nasser Muhammad Al’Yamani anadai Unabi Basi nasema: Leteni ushuhuda wenu ikiwa nyinyi ni wakweli; Hata Kama neno moja katika Bayana Moja kwamba mimi nimisema Ni Nabi AMA Mtume Katika Muda wa miyaka kumina’inne, Ama kwamba nyinyi Munamkusudia Muhammad Nasser Al’Yamani ( Mwandazimu wa Sarwah )? Basi hio ni katika mbinu ya Shetani dhidi ya Al’Mahdi Al’Muntadhar wa kweli Nasser Muhammad Al’Yamani, Na mbinu ya shetani ambao dhidi ya haki nayo ni mpaka watu watie shaka kuhusu Jambo la Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani na Jambo la mwandazimu amepata upeopo Muhammad Nasser Al’Yamani yule ambae anasema Al’Kaaba iko mbinguni wala sio katika Masjid Alharam! Wallah Al’Mustaan Mwenye Kutegemewa, Na hakika ni katika warongo madajali wale ambao inawashika upepo wa ma shetani, Hivi hamutafautishi baina Tamko la akili kwa utawala wa ilimu kutoka kwa muhakam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim na tamko la mwandazimu alie shikwa na upepo wa shetani rajim, ? Basi mcheni Allah kutokana na urongo Na nyinyi munajua, Na mcheni Allah kwa kuherufisha kubadilisha jina langu na nyinyi munajuwa kwamba jina langu ni ( Nasser Muhammad Al’Yamani ) AMA mwandazimu wa Sarwah ni ( Muhammad Nasser Al’Yamani ), Basi hakika wangapi Kama mfano wake katika ulimwengu.

    Basi Musikize na mutii, Ala Wallah lau ingekua Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani Anatumia Mazingira kama nyinyi nigeruka kwenye utawala katika mchana ama alasiri yake kwa sababu ya maendeleo ya Raia wa yemen ambao ni ya kuskitisha ambao wanaumia kwa naja, Na nyinyi kaumu hamuna huruma basi walipeni mishahara yao ili wapate kuishi, Basi kutoka wapi mwataka wale?

    Na ewe Abid Raboh Mwenye Sharia ya urongo ambae ametangaza kuhamisha kituo cha banki kuweka Aden kwa urongo mpaka ikapatikana fursa kwa Anssar Allah mahawuthyin kukata mishahara ya raia wa Yemen, Na wamhada nani? Na kiasi gani nimekunasihi kabla ukafanya kiburi akakuangusha Allah kwa yale nilio’kutahadharisha nayo Kuangukia? Na jee unamhada nani na sisi twajua kwamba ma banki sio ukuta; Bali ni mashini za ma hisabu iko ndani ya nyumba ya ukuta ya banki ambao imeja na mamia ya mamilioni kwa ma hisabu za ma banki na ma shirika ya ma banki,


    Na Ama ma islahiyun basi wanameza mafuta ya yemen ju ya wanao’pewa na mungano wa anaqd ya warabu, Na mizani imeanguka kwa wote, Ala Wallah lau sio kwamba mimi nimeamirishwa kwamba nisipigane na yoyote ju ya utawala hakika nigepigana na madhalimu kwa ushadidi yale nayo yaona ya dhulma katika Ma’arib na Sanaa. Na madhalimu katika ma hizbu katika kote mikowani mwa jumhuria basi hakika siswali ju ya yoyote miongoni mwenu enyi ma3ashara ya ma hizbu wahalifu, Basi mcheni Allah wala iswachukuwe utukufu kwa dhambi, Na mumfwate mlinganizi kwa njia ilio nyoka, Na mumche Allah huwenda mukafaulu, Na Adhabu Ya Allah imekua karibu kuliko kabla, Na kila siku karibu na karibu, Basi wapi mutakimbia kutokana na adhabu ya Allah ikiwa nyinyi ni wakweli?

    Na nakhitimisha Bayana yangu hi kwa mubahala kuapizana na nasema:
    Allahuma ikuwa Wajua kwamba Wewe ikiwa Hukunichagua Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammad Khalifa wa Allah katika Ardhi basi lana ya Allah ju ya warongo, Na ameangamia mwenye kumzulia Allah urongo, AMA Lana ya Allah ju ya yule imebainika Kwake mlinganizi wa haki na asimfwate mlinganizi wa haki kutoka kwa Mola wake Mlezi, Ama anaenda mbio kuleta ajizi ili isisadikiwe Alama za Allah, Na Hukumu ni ya Allah na Yeye ni Mwepesi wa kufanya hisabu.

    An enyi ma3ashara ya ma Ansar wetu katika Yemen, Basi muwe tayari na silaha zenu kama vile tuliwamuru kabla kwamba muwe tayari kwa yule atakae kupamba kwa uharibifu maisha Yake basi hakika sisi tunaweza, Natoa Qasam Kwa Allah Al3adhim na awe shahidi kwa kiapo changu hichi wanao’angalia jambo letu ulimwenguni:

    Hakika pindi akijaribu kumfanyia uchokozi Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani na akanilazimu kutangaza kutoka wote ma Ansar Wangu hakika mimi sitomwita kwajili ya amani, Kwakua anae anza kufanya uwaduwi pindi ikitimu kumwita kwajili ya amani basi haitomzidisha ispokua kiburi na kujizatiti, Kwakua yeye ni mwenye kufanya uwaduwi wala sio mwenye kutaka Amani; Bali mwenye kutaka kumpiga vita Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Katika ma hizbu zote basi hakika sisi tuko tayari, Na hatutapigana ila na Yule atakae kutupiga vita sisi mpaka atake usalama na yeye ni katika wanyonge.

    Na Salam Ju ya Mitume, Na Al’Hamdulillah Rabil3alamin..
    Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.

    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
    خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    _______________

    اقتباس المشاركة 290507 من موضوع من المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني إلى كافة الأنصار في مختلف الأقطار في البوادي والحضر ..


    الإمام ناصر محمد اليماني
    27 - شوال - 1439 هـ
    11 - 07 - 2018 مـ
    01:16 مساءً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

    ــــــــــــــــــــــــ



    من المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني إلى كافة الأنصار في مختلف الأقطار في البوادي والحضر ..

    بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على كافة الأنبياء والمرسلين من أوّلهم إلى خاتمهم محمد رسول الله، يا أيها الذين آمنوا صلّوا عليه وعليهم وسلّموا تسليماً، لا نفرّق بين أحدٍ من رسله ونحن له مسلمون، وصلاة ربّي وسلامه على من تبعهم بإحسانٍ إلى يوم الدين، أمّا بعد ..

    سلام الله عليكم ورحمته وبركاته أحبتي الأنصار وجميع الباحثين عن الحقّ في طاولة الحوار العالميّة، فلكم ولكم حذّرت علماء الفلك في المسلمين والكفار بالاعتراف بآية التصديق للمهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني من قبل أن يُذهب الله مصداقيتهم العلميّة الفيزيائيّة الكونيّة بأنّ الشمس أدركت القمر فولد الهلال من قبل الكسوف فاجتمعت به وقد هو هلالاً.

    وتذكيرٌ وتحذيرٌ لعلماء الفلك خاصةً أن يقرّوا ويعترفوا بآية الإدراك تصديقَ شرطٍ من أشراط الساعة الكبر من قبل أن تَذهبَ مصداقيتهم العلميّة فيخزيهم الله كون أكثر علماء الفلك ليعلمون أنّ الشمس حقاً أدركت القمر فتلاها في شروقه وغروبه، ولم يعلموا علم اليقين ما سبب هذه الظاهرة الخارقة التي تخالف الناموس الفيزيائيّ الفلكيّ وهو سبب غروب هلال الشهر قبل غروب الشمس، برغم علمهم بأنه بحسب الحسابات الفلكيّة الفيزيائيّة الدقيقة أنه قد جاء ميعاد الاقتران وولادة الهلال للشهر الجديد ورغم ذلك يجدونه يغرب قبل الشمس بحسب تاريخ مركز الأرض والكون مكة المكرمة، وعلى كلّ حالٍ، ها هم يعلمون بكسوفٍ شمسيّ يُشاهد جزئياً جنوب أُستراليا.

    وما يريد قوله المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني لكافة البشر في البوادي والحضر مسلمهم والكافر: فهل تعلمون أنّ هلال ذي القعدة لعامكم هذا 1439 سوف يولد من قبل الاقتران فتجتمع به الشمس ليلة الجمعة وقد هو هلال المنزلة الأولى؟ بمعنى أنّ الغرّة الأولى لشهر ذي القعدة هي ليلة الجمعة عند غروب شمس يوم الخميس ليلة الجمعة ولكن لن يشاهده أحدٌ في البشر كون هلال ذي القعدة سوف يغرب عند غروب شمس الخميس ليلة الجمعة وهو في حالة إدراكٍ؛ بمعنى أنه سوف يغرب والشمس إلى الشرق منه والقمر يتلوها وهو إلى جهة غربي الشمس فتلاها، كما يعلم بذلك علماء الفلك كأمثال عبد الله بن سليمان المنيع فأشكلت عليه هذه الظاهرة الخارقة لقانون الفلك الفيزيائيّ وكاد أن يعلن اعترافه بالحقّ في عام 1427 من بعد إعلان الإمام المهديّ لآية إدراك الشمس للقمر تصديقَ شرطٍ من أشراط الساعة الكبرى، فيحدث بسبب ذلك انتفاخ الأهلّة بعد غروب شمس يومه الأول بحساب الغرّة الشرعيّة، فيراه كلُّ من غربت لديه الشمس منتفخاً كما تكرر ذلك في كثيرٍ من الشهور ولم يحدث للبشر ذكرى! وما كان قول عامة المسلمين إلا أن يقولوا: "صمنا متأخرين"، ويدهشهم الأمر أكبر من الآيات الكبرى للشمس والقمر! ولم يحدث لهم ذكرى.

    واقترب عذابُ الله الواحد القهار المسيطر على كافة أقطار السماوات والأرض وما بينهن والشمس والقمر، والراجفة فجر يومٍ ما، وكوكب سقر، وشررٌ كالقصر، ولن يجد المنكرون لآيات الله وليّاً ولا نصيراً من دون ربهم.

    فوالله ثمّ والله لترون من آيات قدرات الله ما لم تكونوا تحتسبون، ولستم المسيطرين، سبحان ربي وتعالى علواً كبيراً!

    واقترب العذاب يا معشر أحزاب المسلمين وأنتم لم تستجيبوا لدعوة الاحتكام إلى كتاب الله القرآن العظيم والسُّنة النبويّة الحقّ التي لا تخالف لمحكم القرآن العظيم.

    ولربّما يودّ أحد الباحثين أن يقول: "يا إمام ناصر محمد اليماني، والله ثم والله إني كنت على وشك البيعة والتصديق بالاتّباع لِما تبيّن لي من البيان الحقّ للقرآن العظيم بقلم الإمام ناصر محمد اليماني كونك تبيّن القرآن بالقرآن وتفصّل القرآن بالقرآن تفصيلاً، ولكني أخّرت بيعتي بسبب إعلان مقتل الزعيم علي عبد الله صالح كونك جعلته من آيات التصديق برغم عدم ذكر علي عبد الله صالح في القرآن العظيم". فمن ثم يقيم الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني الحجّة على الذين لا يوقنون وأقول: بالنسبة للرؤيا فهي تخصّني وتصديقها كما يشاء الله حين يشاء الله، وأعلم أني لم أكذّب على الله، وكذلك علي عبد الله صالح عفاش المتخبئ كالخفّاش ليعلم أني لم أُكذب على الله وأنه حقاً حيٌّ يرزق في الدنيا.
    وأقول له:
    يا أيها الزعيم علي عبد الله صالح، ما سبب الحساسية التي أراني الله على وجهك قبل بضعة أيامٍ وخصوصاً في أوجانك وجبهتك، فهل اكتمل عليك العلاج وأنت متخبئ؟ ويا رجل اتّقِ الله ربي وربك وكن من الشاكرين، فقد جعلك الله من آيات التصديق للإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.

    وربّما يودّ أن يقول الزعيم علي عبد الله صالح: "يا إمام ناصر محمد اليماني، والله أني لم أتدبّر بياناتك حقّ تدبرها إلا في الإنترنت العالميّة من بعد اختفائي، ونعم إنّ ضميري ليؤلمني حين أرى الذين لا يعلمون يكذّبون بفتواك أنّ علي عبد الله صالح لم يُقتل، ألا وإنّ علي عبد الله صالح ليعلم أن فتواك حقٌّ ويقينك برؤياك من ربّك حقٌّ ولكني خائف على نفسي وقليلٌ معي كذلك خائفون".

    فمن ثم يُقيم الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني الحجّة بالحقّ على الزعيم علي عبد الله صالح وأقول: اتّقِ الله يا رجل، ولا تخشَ إلا من ربك، وكن مع الحقّ فيكون معك. وسبق أن حذرتك بأنك سوف تصل إلى هذا الوضع الذي أنت فيه، ولكن بسبب تطنيشك لنصائح الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني تكالبت عليك الأحزابُ وانسدّت أمامك أبواب الحلول وتقطعت بك الأسباب، ولا يزال باب الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني مفتوحاً لك بأمر الله.

    وربّما يودّ السيد عبد الملك الحوثي أن يقول: "عجبٌ أمرك يا ناصر محمد اليماني! فكيف تخاطب رجلاً وجده جنودنا مقتولاً في داره؟".
    فمن ثم أقول: يا أيها السيد عبد الملك الحوثي، ما هو موقفك لو نطق علي عبد الله صالح للعالمين في الإنترنت العالميّة فأخبرهم أنه حيٌّ يُرزق؟ فسوف تفقد مصداقيتك كليّاً، ونصيحتي لك تأكد من الجثة التي لديك وسوف تجد أنه حقاً ليس علي عبد الله صالح وأن ناصر محمد اليماني حقاً لمن الصادقين، ولعنة الله على ناصر محمد اليماني إن كان من الكاذبين، فاتق الله؛ ومن أظلم ممن كتم شهادةً عنده من الله.
    ونصيحتي لك بالحقّ أن تقرّ وتعترف أنّ علي عبد الله صالح خدعكم بادئ الأمر فألبس رجلاً مقتولاً قناع صورة علي عبد الله صالح فظننتموه هو بادئ الأمر وأعلنتم مقتله للعالمين، ولا لوم عليكم إن كنتم لم تعرفوا رامز علي عبد الله صالح فهل استطاع الممثلون الكوميديّون المصريّون وغيرهم معرفة (رامز جلال) رغم أنه من زملاء كثيرٍ منهم؟ فرغم ذلك لم يتوقعوا مثقال ذرةٍ أنّ الرجل الذي يكلّمهم زميلهم رامز جلال المصري، ولذلك لا نقول إنكم كاذبون في إعلانكم قتله بادئ الأمر بسبب القناع؛ بل الإثم الكبير عليكم هو من بعد ما تبيّن لكم أنه ليس هو؛ فكتمتم شهادة الحقّ.

    ويا رجل، إن الشعب اليماني على شفا الهاوية، وتحالف النقد العربي دمّر البنية التحتية لليمن تدميراً سواء العسكريّة أو الحكوميّة المدنيّة فلم يبقِ شيئاً بسبب نظرتكم القصيرة.

    ويا رجل، لو أنكم حين سمعتم وزير الخارجية الإيراني يقول: "سقطت صنعاء العاصمة العربيّة الرابعة تحت الحكم الفارسي" ثم يكون ردّكم بلسانٍ واحدٍ لذلك الرجل الإيراني: "كذبت، واليمن مقبرة من غزاها، فلسنا تبع الفرس الطامعين في التمدد الفارسي تحت مسمّى التمدد الشيعي"؛ إذاً لما جعلتم لتحالف النقد العربي الحجّة على تدمير بنية اليمن التحتية، ولكنه القصور في النظرة وفي السياسة.
    وخدعتكم إيران وقناة الميادين التي أججت الحرب على اليمن بسياسة الإعلام الحربيّ حتى يتمّ إقناع دول الخليج أنه لا بدّ من القضاء على الشيعة في اليمن، برغم أن من يسمّون أنفسهم بأنصار الله خليطٌ من مختلف المذاهب؛ بمعنى أنه كأيّ حزبٍ سياسيٍّ، ولا يجوز القضاء على الكافر بحجّة كفره، فما بالكم بالمسلمين؟ فلا خير فيكم ولا في الإصلاحيين الذين باعوا دينهم بدنياهم وباعوا وطنهم.

    ألا والله الذي لا إله غيره لو أنكم يا معشر من يسمّون أنفسهم بالشرعيّة قلتم: "يا أيتها المملكة العربيّة السعوديّة، قد أذهبتم الطيران اليماني من أوّل ليلة فإلى هنا ويكفي؛ بل نكتفي بدعمكم الحربي البري ماديّاً، ويماني في يماني، وأما تدمير اليمن فلن نرضى بذلك، فهل ترضون لنا أن يتمّ تدمير ما تعمّر خلال ثلاثة وثلاثين عاماً وتُرجعون اليمن إلى مربع الصّفر؟". فلو قلتم ذلك إذاً لكبرتم في نظر تحالف النقد العربيّ وحتى ولو كنتم على ضلالِ الإصلاحيون والحوثيون يا من أبيتم دعوة الاحتكام إلى كتاب الله القرآن العظيم ومنهج الله السبيل الوحيد لإنقاذكم وإنقاذ جميع المسلمين، وأتحداكم أن تجدوا غير ذلك، ولا يزال الله يذيق بعضكم بأس بعضٍ وذلكم من عذاب الله.

    ويا معشر تحالف النقد العربي نأمركم بوقف الحرب على اليمن، وسبق أن سمّينا عاصفتكم بعاصفة التدمير وليست عاصفة التحرير، وها هي الدوائر الحكوميّة خرابٌ تذروها الرياح سواء العسكريّة والمدنيّة فبئس التحرير تحريركم، وكما قال الأخ محمد بن سلمان: "الوقت لصالحنا"؛ أي تطويل سنين الحرب. وأقسم بالله العظيم أني أعلم ما تقصده بالضبط من غير ظلمٍ، أي أن الوقت لصالحكم في تطويل سنين الحرب حتى يتمّ تدمير جميع البنية السكانيّة للمدن اليمانيّة، والبرهان على ذلك فتح جبهة (قانية)، فيا للعجب يا معشر الإصلاحيين! فهل تريدون أن تحرروا صنعاء من أقصى الجنوب الشرقيّ وهي في الشمال الغربيّ؟ فهل تريدون تدمير كافة القرى والمدن على خط (البيضاء) حتى تصلوا (نقيل يسلح) جنوب صنعاء؟ فسياسة من تتبعون لتدمير بنية اليمن للمدن السكانيّة؟

    وأما قبيلة مراد فأقول لهم: الله المستعان، فليس من صفاتكم نقض العهود، ألا وإنّ الصلح عهدٌ عند الله وميثاقٌ غليظٌ، ألم تتفقوا مع الحوثيين بعد أن نصركم الله عليهم من قبل تدخل تحالف النقد العربي وتمّ توقيع اتفاقية خط (قانية البيضاء رداع صنعاء) أنه خطٌ آمنٌ لجميع الشعب، فلماذا تنقضون عهد الله وميثاق صلح الشيخ المرحوم أحمد العجي طالب الطالبي؟

    وربّما يودّ بعض المرجفون أن يقولوا: "إنما تريد أن تُعجب الحوثيين بانتقادك هذا لفتح جبهة قانية". فمن ثمّ يردّ عليكم الإمام المهديّ وأقول: كذبتم وربّ الكعبة، فهل ترونَني أُداري الحوثيين شيئاً؟ وهم يعلمون أنّ الإمام ناصر محمد اليماني لا يخاف في الله لومة لائمٍ وأنا ساكن في صنعاء بينهم، ولكني أقول لهم ولكم كلمة الحقّ وأنتقد بالحقّ ولا أخاف في الله لومة لائمٍ، وبرغم شدّة لهجة انتقادي لهم بالحقّ نجد صدورهم رحبةً للانتقاد.

    وأمّا الذين يكذبون علينا من معشر السلفيين بأنّ ناصر محمد اليماني يدّعي النّبوّة فأقول: هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين؛ ولو حتى كلمةً في بيانٍ واحدٍ أني قلت أني نبيٌّ أو رسولٌ على مدار أربعة عشر عاماً. أم إنّكم تقصدون محمد ناصر اليماني (مجنون صرواح)؟ فذلك من مكر الشيطان ضدّ المهديّ المنتظَر الحقّ ناصر محمد اليماني، ومكر الشيطان المضاد للحقّ هو حتى يلتبس الأمر على الناس في شأن الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني وشأن المجنون الممسوس محمد ناصر اليماني الذي يقول أن الكعبة في السماء وليست في المسجد الحرام! والله المستعان، وإنه لمن الكاذبين الدجالين الذين تتخبطهم مسوس الشياطين. أفلا تميّزون بين منطق العقل بسلطان العلم من محكم القرآن العظيم ومنطق المجنون الممسوس بشيطانٍ رجيمٍ؟ فاتقوا الله من الكذب وأنتم تعلمون، واتقوا الله من تحريف اسمي وأنتم تعلمون أنّ اسمي ( ناصر محمد اليماني ) وأما مجنون صرواح ( محمد ناصر اليماني )، فكم على شاكلته من الدجالين في العالمين.

    فاسمعوا وأطيعوا، ألا والله لو كان الإمام ناصر محمد اليماني يستغل الظروف أمثالكم لقفزت على السلطة في عشيةٍ أو ضحاها بسبب وضع الشعب اليماني المأساوي الذي يتضرع جوعاً، وأنتم قوم لا ترحمون فسلّموا رواتبهم ليعيشوا، فمن أين تريدونهم أن يأكلوا؟

    ويا عبيد ربه صاحب الشرعيّة الكذابة الذي أعلن بنقل البنك المركزي إلى عدن كذباً حتى هيّأتَ الفرصة لأنصار الله الحوثيين لقطع رواتب الشعب اليماني، فعلى من تضحك؟ فلكم نصحناك من قبل فاستكبرت فأوقعك الله فيما حذّرناك من وقوعه، فعلى من تضحك؟ فنحن نعلم أنّ البنك ليس الجدار؛ بل مكائن الحاسوب الكبرى داخل دار جدار البنك الممتلئة بمئات الملايين لحسابات البنوك والشركات المصرفية.

    وأما الإصلاحيّون فيلهفون نفط اليمن فوق ما يعطيهم تحالف النقد العربي، وطفح الكيل من الجميع، ألا والله لولا أني مأمورٌ أن لا أقاتل أحداً على السلطة لقاتلت الظالمين لشدّة ما أراه من الظلم في مأرب وصنعاء. والظالمون من الأحزاب في جميع محافظات الجمهورية فلا أصلي على أحدٍ منكم يا معشر الأحزاب المجرمين، فاتقوا الله ولا تأخذكم العزّة بالإثم، واتبعوا الدّاعي إلى الصراط المستقيم، واتقوا الله لعلكم تفلحون، وعذاب الله صار أقرب من قبل، وكلّ يومٍ أقرب وأقرب، فأين تفرون من عذاب الله إن كنتم صادقين؟

    وأختم بياني هذا بالمباهلة وأقول :
    اللهم إن كنت تعلم أنك إذا لم تصطفِني المهديّ المنتظَر ناصر محمد خليفة الله في الأرض فإن لعنة الله على الكاذبين، وقد خاب من افترى على الله كذباً، أو لعنة الله على من تبيّن له داعي الحقّ ولم يتّبع داعي الحقّ من ربّه، أو يسعى معاجزاً لعدم تصديق آيات الله، والحكم لله وهو أسرع الحاسبين.


    ويا معشر أنصارنا في اليمن، فلتكونوا جاهزين بأسلحتكم كما أمرناكم من قبل أن تكونوا جاهزين لمن أراد أن يَزِنّ على خراب عشه فنحن لها، وأقسم بالله العظيم ليكون شاهداً على قسمي هذا المطّلعون على أمرنا في العالمين:

    لئن تجرأ على استفزاز الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني وأجبرني على إعلان النفير العام لأنصاري أني لن أدعوه إلى السِّلم، كون المعتدي لئن تمّت دعوته للسلم فلن يزيده إلا عتواً ونفوراً، كونه معتدي وليس مسالماً؛ بل من أراد قتال الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني من كافة الأحزاب فنحن جاهزون، ولن نقاتل إلا من أراد قتالنا حتى يَجْنَح للسلم وهو من الصاغرين.

    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
    خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    _______________

    [ لقراءة البيان من الموسوعة ]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=35307

    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..









المواضيع المتشابهه
  1. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 02-04-2019, 12:56 PM
  2. Kukumbusha Kwa Bayana Fupi Kwa Yule Ambae Ni Katika Wanao Ona walioko Katika Sehemu Tafauti Katika Ulimwengu ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 12-12-2018, 11:05 PM
  3. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 26-08-2018, 07:50 PM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 22-08-2018, 07:45 PM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 05-02-2018, 07:18 PM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •